• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kondoa District Council
Kondoa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
      • Background
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda ,Biashara na Uwekezaji
      • Planning ,Monitoring and Statistics
      • Huduma za Afya ,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo ,Mifugo na Uvuvi
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Procurement
      • Bee
      • Sheria
      • Information and Communication Technologies (ICT)
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning
      • Mipango na Mazingira
      • Economy ,Health and Education
      • AIDS
      • Maadili
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WALIMU 896 WAGAWIWA VISHIKWAMBI WILAYANI KONDOA

Posted on: January 16th, 2023

Tukio la ugawaji vishikwambi limefanyika leo tarehe 16January ,2023 katika viunga vya makao makuu  ya Halmashauri yalioko katika kijiji cha Bukulu  kata ya Soera Wilayani Kondoa.Akiongoza zoezi hilo  Afisa Elimu  Msingi na Awali Bi Margareth Temu akiwa na timu nzima ya Elimu msingi na  Sekondari waliongoza zoezi hilo ,zoezi ambalo lilihusisha walengwa wakuu ambao ni Walimu wa shule za Msingi,Walimu wa shule za Sekondari pamoja na Maafisa Elimu kata wote kutoka kata zote 21 za Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa.

Katika zoezi hilo Bi Temu alikua na haya ya kusema na hapa namnukuu'' Lengo kuu la Serikali kutoa vishikwambi hivi vipatavyo 896 kwa walimu wote wa Sekondari na Msingi pia kwa Maafisa Elimu kata wote ni kurahisisha tendo la ufundishaji na ujifunzaji ,tunamshukuru Mh,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuliona hili na kuwapa Walimu kifaa hiki muhimu ili kuinua kiwango  na ubora wa Elimu Tanzania.

Wakipokea vitendea kazi hivi, Mwl Adam P. Faraji kwa niaba ya Walimu wote alikua na haya ya kusema'' Kwa niaba ya walimu wote natoa shukrani za dhati kwa serikali kwa kutupatia vishikwambi hivi ,ili kuboresha ufundishaji na ujifunzaji mashuleni kwa vitaleta chachu  kwa walimu  kujifunza na kupakua vitabu mbali mbali vya kiada na ziada ambavyo vitasaidia kuinua taaluma ndani  nje ya Wilaya ya Kondoa''.

Lakini pia Afisa Elimu Sekondari Bi Line Chanafi aliwasisitiza walimu hawa kutunza vishikwambi hivi na kuvitumia kwa lengo lililo kusudiwa na Serikali katika kuboresha na kuinua taaluma mashuleni.Hakika limekua ni jambo la kihistoria katika tasnia ya elimu alisikia Mwalimu mmoja akisema.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA 5 2025 June 06, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 06, 2025
  • JEDWALI LA MATUKIO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 24, 2024
  • Fungua zaidi

Habari Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 12, 2025
  • RC SENYAMULE AFANYA ZIARA KONDOA DC

    May 13, 2025
  • ELIMU YA UZUIAJI UPOTEVU WA NAFAKA KUWA SULUHISHO LA USALAMA WA CHAKULA KONDOA DC

    May 11, 2025
  • WANANCHI KIJIJI CHA ITUNDWI WAADHIMISHA KWA VITENDO SIKU YA AFYA NA LISHE

    May 07, 2025
  • Fungua zaidi

Video

"Kipaumbele changu Kondoa ni Elimu"-Dkt. Ashatu Kijaji(MB)
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Ruhusa
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi portal
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Chuo cha mipango Dodoma
  • Chuo kikuu Mzumbe
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ajira
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wakala ya serikali Mtandao

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo Ramani

Wasiliana Nasi

    KONDOA DISTRICT COUNCIL ,BUKULU VILLAGE

    Anuani ya Posta: Box 1 Kondoa

    Simu : 0262360313

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@kondoadc.go.tz na ded@kondoadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa . Haki zote zimehifadhiwa.