• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kondoa District Council
Kondoa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
      • Background
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda ,Biashara na Uwekezaji
      • Planning ,Monitoring and Statistics
      • Huduma za Afya ,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo ,Mifugo na Uvuvi
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Procurement
      • Bee
      • Sheria
      • Information and Communication Technologies (ICT)
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning
      • Mipango na Mazingira
      • Economy ,Health and Education
      • AIDS
      • Maadili
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAKABIDHIANO YA OFISI YA MKURUGENZI

Posted on: June 14th, 2023

Leo tarehe 14/06/2023 yamefanyika makabidhiano ya ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa katika ukumbi wa mikutano ulioko ndani ya jengo la utawala makao makuu yaliyoko katika kijiji cha  Bukulu kata ya Soera.Katika makabidhiano hayo yaliyo mhusisha Mustapha S Yussuf aliekua Mkurugenzi wa Halmashauri na Ndugu Shabani K Millao ambae ni Mkurugenzi mpya kufuatia uteuzi mpya wa wakurugenzi alioufanya  Mhe, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Akikabidhi Ofisi wa Mteule mpya Ndugu Semwaiko alisema nikiwa kiongozi nimefanya mengi mazuri kwa kushirikiana nanyi katika  kuiletea kondoa maendeleo lakini pia kutizimiza azma ya serikali  katika kusimamia miradi pamoja na ukusanyaji mapato. Yalio mema yaendelezeni na yale mabaya niliotenda yaacheni ,shirikianeni ,shikamaneni na mpeni ushirikiano Kiongozi mpya ili kuboresha ufanisi kazini .Mahali popote mikwaruzano haikosekani mimi ni binadam ,ninaondoka sina kinyongo na mtu yeyote kama kuna mtu nimemkosea basi naomba anisamehe Semwaiko alisema katika kuhitisha hotuba yake .

Kwa upande wa Wakuu wa Divisheni na Vitendo waliwakilishwa na Dkt.Ligonja ambae alipata kusema neno la shukrani kwa niaba ya Watumishi ,alisema wewe ulikuwa kiongozi  mwema kwetu tumejifunza mengi kutoka kwako lakini pia sisi kama binadam tulikukwaza tusamehe na huko uendako Mungu akuongoze katika majukum yakomyko mapya .

Shabani K.Millao ambae ni mteule mpya katika nafasi ya ukurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa baada ya kukabidhiwa rasmi ofisi alimshukuru mtangulizi wake kwa kazi nzuri alioifanya ya kuisimamia Halmashauri na kumtakia yaliyo mema katika majukumu yake huko aendako. Akiongea na wakuu wa Divisheni na Vitengo Millao alisema ,leo siyo siku rasmi ya kuongea nanyi nitatafuta siku ya kuongea na watumishi ila niwaombe kushirikiana na kufanya kazi kwa bidii tuepuke majungu mahali pa kazi na badala yake tufanye kazi ya kuhudumia wananchi  na kuawasililiza vyema wanapokuja na shida zao.Pamoja na hilo Millao alisisitiza ukusanyaji mapato na kusimamia miradi ili imalizike kwa wakati kama maagizo ya serikali yanavosema katika kutekeleza miradi na thamani ya pesa ionekane na si vinginevyo alisema mwisho wa kunukuu.

                                                      

                                                                                     Katika picha Mustapha S Yusuff na Shabani K. Millao wakisaini Nyaraka za makabidhiano 

             

Chanzo cha habari www.kondoadc.go.tz  

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 06, 2025
  • JEDWALI LA MATUKIO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 24, 2024
  • UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA October 15, 2024
  • Fungua zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI KONDOA DC WAMPONGEZA MHE.RAIS SAMIA

    May 04, 2025
  • VIONGOZI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI INAYOFADHILIWA NA FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO-KONDOA DC

    May 03, 2025
  • MAJIBU YA HOJA ZA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI SASA KUFANYIKA KIDIGITALI

    April 16, 2025
  • MKURUGENZI MILLAO AONGOZA BONANZA LA MNENIA KUELEKEA MWENGE WA UHURU 2025

    April 16, 2025
  • Fungua zaidi

Video

"Kipaumbele changu Kondoa ni Elimu"-Dkt. Ashatu Kijaji(MB)
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Ruhusa
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi portal
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Chuo cha mipango Dodoma
  • Chuo kikuu Mzumbe
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ajira
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wakala ya serikali Mtandao

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo Ramani

Wasiliana Nasi

    KONDOA DISTRICT COUNCIL ,BUKULU VILLAGE

    Anuani ya Posta: Box 1 Kondoa

    Simu : 0262360313

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@kondoadc.go.tz na ded@kondoadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa . Haki zote zimehifadhiwa.