• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kondoa District Council
Kondoa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
      • Background
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda ,Biashara na Uwekezaji
      • Planning ,Monitoring and Statistics
      • Huduma za Afya ,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo ,Mifugo na Uvuvi
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Procurement
      • Bee
      • Sheria
      • Information and Communication Technologies (ICT)
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning
      • Mipango na Mazingira
      • Economy ,Health and Education
      • AIDS
      • Maadili
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA KONDOA YAPOKEA HATI SAFI

Posted on: July 12th, 2023

HALMASHAURI YA WILAYA KONDOA YAPOKEA HATI

Halmashauri ya wilaya Kondoa imepata hati safi kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali  baada ya Taarifa ya fedha 2021/2022 kupata hati inayoridhisha kupitia jumla ya hoja za ukaguzi 51. 

Katika taarifa yake  Kwenye kikao Maalum cha Baraza la madiwani hapo jana tarehe 11.07.2023 Ndg Chambi Sasamka ambaye ni Mkaguzi Mkuu wa Nje Hesabu za Serikali Mkoa wa Dodoma amesema ‘’ Kwa taarifa ya mwaka 2021 /22 Halmashauri ya Wilaya Kondoa ilipata hati inayoridhisha na  mwaka huo halmashauri ilikua na jumla hoja za ukaguzi 51 zikijumisha hoja 19 za miaka ya nyuma baada ya taarifa ya ukaguzi huo kutolewa ofisi ya Mkaguzi wa Hesabu Dodoma ilipokea taarifa ya utekelezaji tar 19.05.2023 na kwa kushirikiana na Wataalam wa Halmashauri kwa kufanya Uhakiki.‘’.

Ndg Chambi amesema baada ya uhakiki hoja 18 zimepatiwa majibu ya kuridhiwa  kufungwa na kusalia hoja 33 sawa na 65% ya hoja zote.Vivyo hivyo amebainisha baadhi ya hoja zilizojitokeza katika ukaguzi wa mwaka 2021/2022 ni pamoja na shule mpya ya sekondari keikei  ambayo haijakamilika kutokana na uhaba wa fedha sh mil 163,329,559, kuuchelewa kukamilika ujenzi kwa jengo la Makao Makuu ya Halmashauri, Mabweni ya Wanafunzi yenye thamani ya sh Mil 150.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amesema‘’Hati hii safi inaipa heshima  Wilaya ya Kondoa ,Mkoa wa Dodoma na  Nchi kwa ujumla wake, mafanikio haya kwa ujumla yanatokana na ushirikiano chanya baina ya Watumishi  wa Halmashauri, Viongozi Madiwani na Wadau mbalimbali hivyo nawasihi endeleeni kudumisha ushirikiano huu ili kuiwezesha halmashauri ya wilaya kondoa kuendelea kupata hati safi katika kaguzi zote kila mwaka’’.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kondoa  Dkt khamis Mkanachi ameipongeza Halmashauri ya Wilaya Kondoa kwa kuzipunguza hoja zilizowasilishwa na Mkaguzi wa Serikali vivyo hivyo pongezi kwa Ofisi ya Mkaguzi wa Hesbu kwa kuibua hoja na kusema  ‘’ukaguzi wa CAG hauji kwa kushtukiza ,ni jambo la kisheria kwa kalenda maalum na tunapaswa kujitahidi kwenye eneo la kuweka Nyaraka sawasawa ,ili hoja zinapokuja zijibiwe vizuri’’

Akihitimisha kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri Mh Mohamed Maguo amemshukuru Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kwa kuweka wazi maswala ya Fedha na Miradi katika halmashauri yao na kumuomba mkaguzi kuendelea kuwakagua kwa Maendeleo ya Halmashauri pamoja na kuahidi  kutimiza maelekezo yaliyotolewa na viongozi wa Wilaya na Mkoa katika kikao hicho cha baraza maalum la kujadili taarifa za hoja zilizoibuliwa na mkaguzi wa hesabu za serikali .

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA 5 2025 June 06, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 06, 2025
  • JEDWALI LA MATUKIO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 24, 2024
  • Fungua zaidi

Habari Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 12, 2025
  • RC SENYAMULE AFANYA ZIARA KONDOA DC

    May 13, 2025
  • ELIMU YA UZUIAJI UPOTEVU WA NAFAKA KUWA SULUHISHO LA USALAMA WA CHAKULA KONDOA DC

    May 11, 2025
  • WANANCHI KIJIJI CHA ITUNDWI WAADHIMISHA KWA VITENDO SIKU YA AFYA NA LISHE

    May 07, 2025
  • Fungua zaidi

Video

"Kipaumbele changu Kondoa ni Elimu"-Dkt. Ashatu Kijaji(MB)
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Ruhusa
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi portal
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Chuo cha mipango Dodoma
  • Chuo kikuu Mzumbe
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ajira
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wakala ya serikali Mtandao

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo Ramani

Wasiliana Nasi

    KONDOA DISTRICT COUNCIL ,BUKULU VILLAGE

    Anuani ya Posta: Box 1 Kondoa

    Simu : 0262360313

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@kondoadc.go.tz na ded@kondoadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa . Haki zote zimehifadhiwa.