• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kondoa District Council
Kondoa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
      • Background
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda ,Biashara na Uwekezaji
      • Planning ,Monitoring and Statistics
      • Huduma za Afya ,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo ,Mifugo na Uvuvi
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Procurement
      • Bee
      • Sheria
      • Information and Communication Technologies (ICT)
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning
      • Mipango na Mazingira
      • Economy ,Health and Education
      • AIDS
      • Maadili
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DAS KALEKEZI AWAONGOZA WANAWAKE KONDOA DC KATIKA KUIHUDUMIA JAMII

Posted on: March 10th, 2025

Katibu Tawala Wilaya ya Kondoa Bi.Christina Kalekezi, amewaongoza wanawake na wananchi katika kufanya matendo ya huruma kwa Bi.Mwanaftari mkazi wa Kijiji cha Bereko.

Hayo yamejiri mapema Machi 6, 2025 katika kuadhimisha siku ya wanawake ngazi ya halmashari yaliyofanyika kata ya Bereko ikiwakutanisha wanawake toka  makundi mbali mbali wakiwemo viongozi, watumishi wa Umma, kina mama wanajamii,  wasichana na wadau wengine pamoja na wananchi kwa ujumla.

Bi.Kalekezi amesema kilichofanywa na wanawake hao ni ibada kwa Mwenyezi Mungu, akiwaasa wanawake hao kujifunza kubebeana mahitaji yao kwa kuinuana pamoja.

"Niwapongeze sana wanawake wenzangu kwa juhudi za kumuibua mwana mama huyu kwa kumpa mtaji utakaomsaidia kuendesha familia yake, kitendo hiki mlichokifanya mmemuheshimisha Mhe.Rais.Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa mfano wa kuigwa katika jukwaa la kumwezesha mwanamke" ameongeza Bi.Kalekezi.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri Ndg.Emmanuel Mvungi amewatia shime wanawake hao kuendeleza juhudi hizo katika kuwaibua watu wenye uhitaji akielezea juhudi zinazofanywa na Serikali katika kuwasaidia wanawake, vijana na watu wenye mahitaji maalum.

Awali katika taarifa yake Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri Bi.Raiya Nasser amesema katika kuadhimisha siku hiyo wanawake wa halmashauri  hiyo walikubaliana kurudisha kwa jamii kwa kumkabidhi Bi.Mwanaftari mwanamke mjane mwenye watoto 4 (watatu wana ulemavu) Mradi wa ufugaji mbuzi 3, Bima za Afya kwa familia yake pamoja na ununuzi wa mahitaji maalum ya nyumbani kwa fedha iliyobaki.

Naye Bi.Mwanaftari amewashukuru wanawake hao kwa tendo la huruma kwa Familia yake akiwatakia heri wote walioguswa na hali yake na kuamua kumsaidia.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 06, 2025
  • JEDWALI LA MATUKIO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 24, 2024
  • UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA October 15, 2024
  • Fungua zaidi

Habari Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 12, 2025
  • RC SENYAMULE AFANYA ZIARA KONDOA DC

    May 13, 2025
  • ELIMU YA UZUIAJI UPOTEVU WA NAFAKA KUWA SULUHISHO LA USALAMA WA CHAKULA KONDOA DC

    May 11, 2025
  • WANANCHI KIJIJI CHA ITUNDWI WAADHIMISHA KWA VITENDO SIKU YA AFYA NA LISHE

    May 07, 2025
  • Fungua zaidi

Video

"Kipaumbele changu Kondoa ni Elimu"-Dkt. Ashatu Kijaji(MB)
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Ruhusa
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi portal
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Chuo cha mipango Dodoma
  • Chuo kikuu Mzumbe
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ajira
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wakala ya serikali Mtandao

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo Ramani

Wasiliana Nasi

    KONDOA DISTRICT COUNCIL ,BUKULU VILLAGE

    Anuani ya Posta: Box 1 Kondoa

    Simu : 0262360313

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@kondoadc.go.tz na ded@kondoadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa . Haki zote zimehifadhiwa.