• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kondoa District Council
Kondoa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
      • Background
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda ,Biashara na Uwekezaji
      • Planning ,Monitoring and Statistics
      • Huduma za Afya ,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo ,Mifugo na Uvuvi
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Procurement
      • Bee
      • Sheria
      • Information and Communication Technologies (ICT)
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning
      • Mipango na Mazingira
      • Economy ,Health and Education
      • AIDS
      • Maadili
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

’BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA KONDOA LAMKARIBISHA RASMI MKURUGENZI MPYA’’

Posted on: July 12th, 2023


Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya Kondoa limemkaribisha rasmi Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa Halmashari ya Wilaya ya Kondoa Ndg Shabani ikiwa ni baada ya Teuzi mpya zilizofanywa na Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa Wakurugenzi nchi nzima siku chache zilizopita

Akimtambulisha mbele ya Baraza la madiwani Mwenyekiti wa Halmashauri Mh Mohamed Maguo amesema katika halmashauri yao mabadiliko yamefanyika kwa nafasi ukurungenzi nchini baada ya Mh, Rais Samia kumteua ndg shaban Millao kuwa Mkurugenzi mpya wa Halmashauri ya wilaya Kondoa kwa kuchukua nafasi ya ndg Mustapha Semwaiko ambaye amepangiwa majukumu mengine na serikali na kuwaomba waheshimiwa madiwani kufanya  nae kazi kwa kipindi chote atakachodumu nafasi yake ya  ukurugenzi baaada kuteuliwa.

Kwa upande wake Mkurugenzi mpya Ndg Shabani Millao amesma anaamini kwa pamoja katika ushirikiano  uwezo wa kuifikisha Halmashauri kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa kutekeleza azma ya mheshimiwa   Rais ya kuwaondoa watu kwenye umaskini kutoka hatua moja hadi nyingine na kuwaaidi waheshimiwa Madiwani kufika kwenye kata zao kwa utambulisho Zaidi.

Pia kwa kwa upande wa waheshimiwa madiwani wa kata zote ndani ya Halmashauuri ya wilaya Kondoa wakapata nafasi ya kujitambulisha  kila mmoja katika kata wanazozihudumu

Ndgu Shaban Millao kabla ya kuteuliwa na Mheshiwa Rais kwa nafasi ya Ukurugenzi Halmasha ya Wilaya ya Kondoa  amehudumu katika halmashauri mbalmbali kwa nafasi ya Afisa mipango ikiwemo Halmashari ya Mpwapwa pamoja na halmashauri ya Chalinze wilayani babamoyo ambayo amedumu katika nafasi ya afisa mipango kwa miaka 12.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 06, 2025
  • JEDWALI LA MATUKIO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 24, 2024
  • UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA October 15, 2024
  • Fungua zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI KONDOA DC WAMPONGEZA MHE.RAIS SAMIA

    May 04, 2025
  • VIONGOZI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI INAYOFADHILIWA NA FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO-KONDOA DC

    May 03, 2025
  • MAJIBU YA HOJA ZA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI SASA KUFANYIKA KIDIGITALI

    April 16, 2025
  • MKURUGENZI MILLAO AONGOZA BONANZA LA MNENIA KUELEKEA MWENGE WA UHURU 2025

    April 16, 2025
  • Fungua zaidi

Video

"Kipaumbele changu Kondoa ni Elimu"-Dkt. Ashatu Kijaji(MB)
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Ruhusa
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi portal
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Chuo cha mipango Dodoma
  • Chuo kikuu Mzumbe
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ajira
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wakala ya serikali Mtandao

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo Ramani

Wasiliana Nasi

    KONDOA DISTRICT COUNCIL ,BUKULU VILLAGE

    Anuani ya Posta: Box 1 Kondoa

    Simu : 0262360313

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@kondoadc.go.tz na ded@kondoadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa . Haki zote zimehifadhiwa.