• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kondoa District Council
Kondoa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
      • Background
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda ,Biashara na Uwekezaji
      • Planning ,Monitoring and Statistics
      • Huduma za Afya ,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo ,Mifugo na Uvuvi
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Procurement
      • Bee
      • Sheria
      • Information and Communication Technologies (ICT)
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning
      • Mipango na Mazingira
      • Economy ,Health and Education
      • AIDS
      • Maadili
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

ALAT DODOMA YAKAGUA MIRADI VIJIJI VYA HAUBI ,BUKLU NA POTEA

Posted on: July 8th, 2023

Kamati ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa Mkoani Dodoma (ALAT) imefanya ziara yakeHalmashari ya Wilaya ya Kondoa Tarehe2.07.2023 katika vijiji vya Haubi ,Bukulu na Poteakwa kukagua Miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa.

Ndg Isaack Luambano ambaye ni Mratibu mradi LDFS-KONDOA amesema lengo la Mradi nikurejesha Ardhi iliyoharibika ,kuongeza Uzalishaji wa chakula pamoja na kuboresha Uchumiwa wanufaika kwa kutumia Teknolojia ya Mbegu 9 na jembe la Mzambia ambazozimetumika katika Kilimo cha Mahindi ndani ya vijiji vya Haubi na Mafai.

Kupitia Ujenzi wa vyumba 7 vya Madarasa na Matundu 3 ya vyoo Shule ya msingi Potea NdgSelemani Yange Said ambaye ni Mwalimu mkuu amesema hadi kufikia June 30 2023 Ujenziwa vyumba 03 vya Madarasa umekamilika,Ujenzi wa vyumba 04 vya Madarasa upo katikahatua ya Upauaji na Upakaji rangi pamoja na ujenzi wa matundu 8 ya vyoo upo katika hatuaya kuinua ukuta Ikiwa jumla ya sh mil241,025,500 za serikali kuu n ash 62,380,115zilikuazimeshatumika kwa ajili ya ununuzi wa wa vifaa vya ujenzi pamoja na malipo yamafundi.

Kwa upande wake Dr alpha kwilasa ambaye ni Mganga Mfawidhi Hospitali ya Wilaya Kondoaamesema huduma zitolewazo ni huduma za Wagonjwa wa nje(OPD),Huduma ya kujifungua,hudum ya mama,baba na mtoto ( RCH) ,Huduma za Maabara,huduma ya Kinywa na Meno,Huduma za Kifua Kikuu na Ukoma pamoja na Huduma zinginezo zilzochangia mafanikio yajumla ya wakina mama 122 wamejifungua salama ,Huduma kwa wateja wa OPD4,055,Huduma ya Outreach kwenye vijiji 4,nyongeza ya idadi ya watumishi,ukamilikaji wanyumba ya watumishi (3in 1) ,kuanza kwa huduma ya mionzi ambapo hadi sasa wateja 133wamenufaika na huduma hii pamoja upatikani wa gene xpert ambapo hadi sasa wateja2,283 wamenufaika.

Akihitimisha ziara hiyo Mwenyekiti wa kamati ya ALAT mkoa Ndg. White Zuberi amesemawamefurahia Teknolojia ya kilimo hiko cha kisasa na kuaidi kwenda kufanya katikaHalmashauri zao maana changamoto za udongo zinafanana kwa kuwa na ardhi yenye kichanga na upungufu wa mvua .

Aidha katika utekelezaji wa Miradi kijiji cha Potea na bukulu Mh Zuberi White amempongezaMkurugenzi mtendaji wa halmashauri na Watumishi kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyoiliyopo kwenye hatua mbalimbali za ukamishaji.Habari na chanzo chetu www.kondoadc.go.tz,

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 06, 2025
  • JEDWALI LA MATUKIO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 24, 2024
  • UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA October 15, 2024
  • Fungua zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI KONDOA DC WAMPONGEZA MHE.RAIS SAMIA

    May 04, 2025
  • VIONGOZI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI INAYOFADHILIWA NA FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO-KONDOA DC

    May 03, 2025
  • MAJIBU YA HOJA ZA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI SASA KUFANYIKA KIDIGITALI

    April 16, 2025
  • MKURUGENZI MILLAO AONGOZA BONANZA LA MNENIA KUELEKEA MWENGE WA UHURU 2025

    April 16, 2025
  • Fungua zaidi

Video

"Kipaumbele changu Kondoa ni Elimu"-Dkt. Ashatu Kijaji(MB)
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Ruhusa
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi portal
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Chuo cha mipango Dodoma
  • Chuo kikuu Mzumbe
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ajira
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wakala ya serikali Mtandao

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo Ramani

Wasiliana Nasi

    KONDOA DISTRICT COUNCIL ,BUKULU VILLAGE

    Anuani ya Posta: Box 1 Kondoa

    Simu : 0262360313

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@kondoadc.go.tz na ded@kondoadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa . Haki zote zimehifadhiwa.