• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kondoa District Council
Kondoa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
      • Background
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda ,Biashara na Uwekezaji
      • Planning ,Monitoring and Statistics
      • Huduma za Afya ,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo ,Mifugo na Uvuvi
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Procurement
      • Bee
      • Sheria
      • Information and Communication Technologies (ICT)
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning
      • Mipango na Mazingira
      • Economy ,Health and Education
      • AIDS
      • Maadili
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WITO UMETOLEWA KWA JAMII KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA HALMASHAURI YA WILAYA YA KONDOA

Posted on: December 6th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa kupitia Divisheni ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto imeendelea kuadhimisha Kampeni ya siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia baada ya kuzinduliwa na Waziri wa  Maendeleo ya Jamii ,Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima tarehe 25/11/2023 Ukumbi wa mikutano JNICC Dares es salaam ukiwa na U   jumbe maalum wa ‘’Wekeza ,Kupinga Ukatili wa Kijinsia’’.

Kata ya Haubi, Soera na Bereko ni miongoni mwa kata zilizofikiwa na Kampeni hiyo ya kupinga Ukatili wa kijinsia kupitia Maafisa Maendeleo na Ustawi wa Jamii kwa kutoa Elimu kwa jamii juu ya aina za Ukatili wa kijinsia ,Madhara yake pamoja na namna ya kuepukana na Ukatili wa kijinsia.

Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari pamoja Wananchi wa kata hizo wamenufaika na Elimu ya aina za Ukatili zikiwemo Ukatili wa Kingono(Ubakaji na Ulawiti),Ukatili wa Kiuchumi(Shughuli za Kiuchumi kumnufaisha upande wa ME),Ukatili wa Kisaikolojia(Matumizi mabaya ya lugha) pamoja na Ukatili wa Kijinsia (Ukeketaji) kwa kuaswa kushiriki katika Utoaji wa taarifa kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na kwa Walimu hasa kwa upande wa Wanafunzi pindi wanaposikia ama kutaka kufanyiwa.

Kwa mujib wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii ,Jinsia Wanawake na Mak undi Maalum Vitendo vya Ukatili wa kijinsia hususa kwa Wanawake ,Watoto na Watu wenye Ulemavu vinaigharimu Jamii na Taifa kwa ujumla ,Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Wanawake (UN Women) zinaonyesha wazi kuwa ,Vitendo vya Ukatili dhidi ya Wanawake hugharimu 2%ya Uchumi wa Dunia ,hali kadhalika Ripoti  ya Benki ya Dunia inaonyesha kuwa baadhi ya Nchi hutumia hadi 3.5 %ya Pato Ghafi la ndani kushughulikia Masuala ya Ukatili wa Kijinsia.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 06, 2025
  • JEDWALI LA MATUKIO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 24, 2024
  • UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA October 15, 2024
  • Fungua zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI KONDOA DC WAMPONGEZA MHE.RAIS SAMIA

    May 04, 2025
  • VIONGOZI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI INAYOFADHILIWA NA FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO-KONDOA DC

    May 03, 2025
  • MAJIBU YA HOJA ZA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI SASA KUFANYIKA KIDIGITALI

    April 16, 2025
  • MKURUGENZI MILLAO AONGOZA BONANZA LA MNENIA KUELEKEA MWENGE WA UHURU 2025

    April 16, 2025
  • Fungua zaidi

Video

"Kipaumbele changu Kondoa ni Elimu"-Dkt. Ashatu Kijaji(MB)
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Ruhusa
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi portal
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Chuo cha mipango Dodoma
  • Chuo kikuu Mzumbe
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ajira
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wakala ya serikali Mtandao

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo Ramani

Wasiliana Nasi

    KONDOA DISTRICT COUNCIL ,BUKULU VILLAGE

    Anuani ya Posta: Box 1 Kondoa

    Simu : 0262360313

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@kondoadc.go.tz na ded@kondoadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa . Haki zote zimehifadhiwa.