• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kondoa District Council
Kondoa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
      • Background
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Administration and Human Resources
      • Fedha na Biashara
      • Planning ,Monitoring and Statistics
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Agriculture ,Irrigation and Cooperation
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Procurement
      • Election
      • Bee
      • Legal
      • Information and Communication Technologies (ICT)
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning
      • Mipango na Mazingira
      • Economy ,Health and Education
      • AIDS
      • Maadili
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mhe.Rais Dkt. John Pombe Magufuli azindua barabara ya Dodoma-babati km 251

Posted on: April 27th, 2018

Mhe. Rais Dkt. Magufuli amefungua barabara ya kiwango cha lami ya Dodoma-Babati (Km-251) leo tarehe 27/04/2018.Barabara

 hii iliyogharimu jumla ya Sh. bilioni 378.423 imejengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benki

 ya Maendeleo ya Afrika na Serikali ya Japan.Rais amesema barabara hiyo ni sehemu ya Barabara Kuu ya kaskazini inayoanzia 

Cape Town hadi Cairo yenye jumla ya km 10,288 itakayounganisha Kusini na Kaskazini mwa bara la Afrika ikipita nchi nane.Rais 

Dkt. Magufuli amewataka wananchi wa Kondoa, vyombo vya Usalama barabarani na madereva wa vyombo vya moto wazingatie

 matumizi bora ya barabara ili kuepuka ajali, kuzingatia sheria za barabarani na kusimamia maadili ya udereva ili kupunguza vilio

 vya watu kutokana na ajali.Mhe. Rais aliendelea kusisitiza kuwa Kukamilika kwa barabara hii ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya 

CCM.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2018 January 24, 2019
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2019 KWA SHULE ZA MKOA WA DODOMA December 19, 2018
  • Kulipia Leseni za biashara March 24, 2017
  • Tangazo April 13, 2018
  • Fungua zaidi

Habari Mpya

  • WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA DARAJA BAURA NA MASANGE

    February 04, 2019
  • BAJETI ZA HALMASHAURI MWAKA 2019/2020 KUHAKIKISHA ZINA AFUA ZA LISHE :TAMISEMI

    November 23, 2018
  • JIMBO LA KONDOA LAPIGA HATUA KUBWA KIMAENDELEO MIAKA MITATU YA SERIKALI AWAMU YA TANO.

    October 09, 2018
  • Mafunzo ya fundi Mchundo (Local service provider LSP)

    September 15, 2018
  • Fungua zaidi

Video

"Kipaumbele changu Kondoa ni Elimu"-Dkt. Ashatu Kijaji(MB)
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Ruhusa
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi portal
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Chuo cha mipango Dodoma
  • Chuo kikuu Mzumbe
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ajira
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wakala ya serikali Mtandao

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    KONDOA DISTRICT COUNCIL ,KILIMANI STREET

    Anuani ya Posta: Box 1 Kondoa

    Simu : 0262360313

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@kondoadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa . Haki zote zimehifadhiwa.