• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kondoa District Council
Kondoa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
      • Background
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Administration and Human Resources
      • Fedha na Biashara
      • Planning ,Monitoring and Statistics
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Agriculture ,Irrigation and Cooperation
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Procurement
      • Election
      • Bee
      • Legal
      • Information and Communication Technologies (ICT)
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning
      • Mipango na Mazingira
      • Economy ,Health and Education
      • AIDS
      • Maadili
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Matokeo Darasa la nne,QT,Kidato cha pili na Kitato cha nne yatangazwa Rasmi

Posted on: January 9th, 2020

Matokeo ya upimaji wa Kitaifa darasa la nne(SFNA),kidato cha pili(FTNA) 2019 na Mtihani wa Kidato cha nne(CSEE) na maarifa(QT) 2019 yametangazwa Rasmi leo tarehe 09 januari,2020.

Katibu Mkuu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde, ametangaza matokeo ya upimaji kitaifa darasa la nne,  kidato cha pili na nne ya mitihani iliyofanyika  Novemba 2019. Matokeo ya kidato cha nne mwaka 2019 yanaonyesha kuwa ufaulu umeongezeka kidogo kwa asilimia 1.4 kutoka ule wa mwaka 2018. Licha ya ufaulu huo kuongezeka, bado takriban nusu ama asilimia 48.6 ya watahiniwa wote wa mwaka 2019 wamepata daraja la nne.Necta imeeleza leo kuwa katika mtihani huo wanafunzi 340,914 wamefaulu mtihani kati ya wanafunzi 422,722 waliofanya mtihani huo Oktoba mwaka jana ikiwa ni sawa na asilimia 80.65 ya watahiniwa wote. Hii ni sawa na kusema kuwa wanafunzi 81 kati ya 100 waliofanya mtihani huo wamefaulu. Ufaulu huo, kwa mujibu wa Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde, ni sawa ongezeko la asilimia 1.38 ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2018. Mwaka juzi asilimia 79.27 ya watahiniwa wa shule walifaulu mtihani huo.

Chagua kiunganishi unachotaka kisha Bofya.

1.MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE(CSEE) 2019 : https://matokeo.necta.go.tz/csee/csee.htm

2.MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA(QT)2019 : https://matokeo.necta.go.tz/qt/qt.html

3.MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2019 : https://matokeo.necta.go.tz/ftna/ftna.htm

4.MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2019 : https://matokeo.necta.go.tz/sfna5D/sfna.htm


Matangazo

  • Orodha yawaliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2021 December 18, 2020
  • Fomu za kujiunga kidato cha kwanza(Joining Instructions) mwaka 2021 zinapatikana hapa December 18, 2020
  • NECTA YATANGAZA MATOKEO KIDATO CHA PILI NA CHA NNE 2020 January 15, 2021
  • Kulipia Leseni za biashara March 24, 2017
  • Fungua zaidi

Habari Mpya

  • NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO PILI NA CHA NNE 2020

    January 15, 2021
  • Matokeo Darasa la nne,QT,Kidato cha pili na Kitato cha nne yatangazwa Rasmi

    January 09, 2020
  • Waandikishaji wasaidizi Serikali za Mitaa wala kiapo

    October 05, 2019
  • SEKONDARI YA KINYASI YAKABIDHIWA MADAWATI

    August 05, 2019
  • Fungua zaidi

Video

"Kipaumbele changu Kondoa ni Elimu"-Dkt. Ashatu Kijaji(MB)
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Ruhusa
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi portal
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Chuo cha mipango Dodoma
  • Chuo kikuu Mzumbe
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ajira
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wakala ya serikali Mtandao

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo Ramani

Wasiliana Nasi

    KONDOA DISTRICT COUNCIL ,KILIMANI STREET

    Anuani ya Posta: Box 1 Kondoa

    Simu : 0262360313

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@kondoadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa . Haki zote zimehifadhiwa.